Bosi anataka penzi ndio anipe kazi!

Jamani wanawake katika kutafuta kazi tunapitia changamoto nyingi sana, unakuta una sifa zote za kupata kazi ila Bosi anataka umpatie rushwa ya ngono ndipo akupatie kazi. Jina langu ni Eliza kutokea Nairobi nchini Kenya, miaka miwili iliyopita nilifika katika ofisi moja kuomba kazi ya taaluma ambayo nimeisomea, Bosi akaniambia kazi nimepata ila kuna jambo ambalo napaswa kufanya, nalo ni kumpatia penzi kwanza.


11 Januari 2023

Jambo hilo nilishtuka sana, kama kazi ipo na nina sifa za kuipata kwanini nitoe rushwa, tena rushwa ya ngono!. Lakini ukweli nilikuwa nahitaji sana kazi hiyo maana maisha yangu kiuchumi hayakuwa mazuri sana. Basi nilimjibu yule Bosi ngoja nikafikirie halafu baada ya wiki mmoja nitampa jibu, niliondoka katika ofisi ile nikiwa na maswali mengi kichwani, akili nyingine ilikuwa inaniambia ni mkubalie tu ili nipate hiyo kazi, akili nyingine iliniambia kufanya hivyo ni kuuza utu wangu. Akili nyingine iliniambia nijaribu kuomba ushauri kwa marafiki zangu ambao nina waamini, ndipo nikakutana na rafiki yangu mmoja na kumueleza jambo hilo, naye alishangaa sana kusikia kitu kama hicho.


Basi, akaniambia hakuna haja ya kufanya ujinga kama huo, kwani AfricanDoctors wanaweza kunisaidia kupata kazi niipendayo, akaniambia hawa wamewasaidia watu wengi kupata kazi katika eneo zima la Afrika Mashariki na kati. Akanipatia namba zao za simu nami nikaanza kuwasiliana nao na kuwaeleza shida yangu kuwa nahitaji kupata kazi nzuri katika maisha yangu, basi wakanifanyia tiba zao ambazo kwangu naona ni za uwakika kufuatia kile kilichokuja kunitokea. Haikupita muda mrefu, niliweza kupata kazi sehemu nyingine ambayo ni nzuri kuliko ile ya awali, huku hata kiwango cha mshahara kilikuwa ni kikubwa sana ukilinganisha na sehemu ile ya mwanzo.


Baada ya wiki mbili kuanza, yule Bosi aliyetaka penzi alinipigia simu na kuniambia kuwa ile nafasi yangu atampa mtu mwingine kama sipo tayari kufanya kile alichoniambia. Mimi nilimjibu kuwa siwezi kufanya hivyo hata siku moja katika maisha yangu na tayari nimepata kazi sehemu nyingine!. Basi, wasiliana na AfricanDoctors kwa namba +254769404965.

Ofisi yetu kuu ipo mjini Migori nchini Kenya. Tunahudumu nchini Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda, Burundi na DRC. Karibu.