Kila Mwanaume Aliyekuwa Akinichumbia, Alikuwa Ananiacha Kwenye Mataa

Jina langu ni Melinda, naishi jijini Nakuru, ni mama wa mtoto mmoja ambaye niliolewa Machi mwaka jana nikiwa na umri wa miaka 39, jambo ambalo wengi katika jamii yangu hawakutarajia. Unajua kwa tamaduni za Kiafrika, wanategemea wasichana kuolewa kuanzia miaka 18 hadi 30 kwa wale wanaokuwa wamechelewa sana, ndivyo ilivyokuwa na kwangu.


Kaka zangu wote walikuwa wameoa hadi wadogo zangu wa kiume ambao nimewazidi zaidi ya miaka mitano nao tayari walikuwa wameoa na kuwa na watoto ila mimi dada yao ilikuwa ni bado! Baadhi ya watu walianza kuongeza maneno ya chini kwa chini kuwa huwenda mimi nina tatizo bila kujua nilikuwa nakumbana na changamoto gani hasa maishani mwangu.


Ukweli ni kwamba nilitamani ssana kuolewa tangu nikiwa na umri wa miaka 28, lakini tatizo langu kubwa lilikuwa ni kwamba kila nikipata mwanaume, akishatembea na mimi tu, alikuwa ananiacha bila sababu. Ilifikia hatua ya kusema sitatembea na mwanaume yoyote hadi pale awe amenioa, tatizo ni kwamba kila mwanaume niliyekuwa nampata nikimwambia kuwa tusifanye kitendo hicho hadi ndoa alikuwa anakataa.


Wengine walisema kama nilishawahi kufanya huku nyuma, kwanini sasa nikatae na ukizingatia mimi ni mtu mzima sio mtoto au mwanafunzi, basi waliposikia hivyo walinikimbia. Muda ulizidi kwenda bila kuolewa, siku moja nilisikia katika redio kuwa Dr. African anaweza kumuondolea mtu mikosi katika maisha yake, ndipo nikachukua namba yake na kuwasiliana naye na kumwambia kuhusu changamoto hiyo niliyokuwa napitia.


Alinifanyia tiba zake na kunipa baadhi ya maelekezo na kunihakikishia kuwa kuanzia siku hiyo tatizo hilo litakuwa limeondoka katika maisha yangu. Basi nilikutana na mwanaume mmoja ambaye ndiye mume wangu wa sasa, tulianzisha mahusiano, licha ya kutembea naye hakuweza kuniacha hadi tukaja kufunga ndoa. Asante sana Dr. African. Kumbuka Dr. African ana uwezo wa kuwezesha kuwa mtu wa bahati maishani, ana uwezo wa kukukinga kutokana na adui zako wanaokutakia mabaya kwa wakati wowote ule kwa muda wa siku tatu utaona matokeo yake.

Ofisi yetu kuu ipo mjini Migori nchini Kenya. Tunahudumu nchini Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda, Burundi na DRC. Karibu.