Hii Ndiyo Dawa Ya Watu Wanaoota Ndoto Mbaya Usiku Na Kuona Mauzauza

JINA langu ni Nasra kutokea Tanga nchini Tanzania, miaka kadhaa nyuma iliyopita nilijikuta kwenye sehemu ya mauzauza, nilikuwa naota ndoto mbaya, nilikuwa katika mazingira ya shule, kwa kuwa mazingira yale yalijaa mauzauza sikuweza kushangaa sana.


Ilikuwa haipiti wiki mimi sijaugua, nilikuwa naota ndoto kama nakabwa, kipindi hicho bado nipo Shule, ilikuwa ni hali ya kuhatarisha katika maisha yangu, kiukweli katika dua na jamaa zangu lakini haikusaidia lolote. Tulikuwa tunaamka pamoja na rafiki yangu muda wa saa 11 alfajiri, tunaomba dua hadi saa 12 asubuhi, kisha tunakwenda kuungana na wenzetu. Usiku saa nne kamili tunaanza dua walau nusu saa kisha tunakwenda kulala.


Siku moja nakumbuka ilikuwa Ijumaa kuamkia Jumamosi, kama kawaida yetu baada ya prepo tulikwenda kufanya dua kwenye kajumba ambako kalikuwa kama mita 50 toka mabweni yalipo. Wakati tunaendelea kupiga dua ya nguvu, tukiwa tumeshikana mikono, ghafla ulijitokeza moto unaowaka katikati yetu, kwa kuwa mauzauza nilikuwa nishayazoea, sikushtuka sana tuliendelea kufannya dua kwa nguvu sana mara moto ule ukatoweka.


Baada ya dakika chache akajitokeza paka pale ulipokuwa moto, tukakomaa naye kwa dua hadi akaondoka, baada ya kumaliza kusali tuliagana na kila mmoja kwenda kulala bwenini kwake. Usiku wa manane mimi waliniibukia mazima, walinifata kitandani na kuninyanyua nikaelea angani juu ya kitanda, nilipiga kelele sana watu wakaniona naelea angani.


Hali Ile iliniogopesha sana, nilishuka na kubamizwa kitandani, cha ajabu kesho yake niliamka mwlili unaniuma, maumivu mwili mzima ila sikumbuki chochote kilichotokea. Ilinibidi niwaombe walimu wanipe likizo ya muda nikapumzike nyumbani, kabla sijafika nyumbani nilinunua gazeti na kulisoma, kabla sijamalizia kulisoma nilikutana tangazo la Dr. African kuwa anaweza kutuliza hali ya mauzauza pamoja na kuota ndoto za kutisha. Nilichukua namba yake ambayo ni +254 76940496, nilipiga ile namba, akapokea nikamuelezea matatizo yangu, akanifanyia matambiko pamoja na dawa na tangu wakati ule ile hali ikakoma.


Hadi naandika ujumbe huu kwa sasa nipo shuleni na sijawahi kuona tena hali ile pamoja na wenzangu, binafsi namshukuru sana Dr. African kwa tiba yake. Vile vile anatibu magonjwa kama Kaswende, Kisonono, Kifua Kikuu, Presha na mengine mengi.

Ofisi yetu kuu ipo mjini Migori nchini Kenya. Tunahudumu nchini Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda, Burundi na DRC. Karibu.